Wataalamu wamegawa viumbehai katika makundi matatu kufuatana na muundo wao wa ndani:
- Bakteria na
- Archaea ni viumbehai wenye seli moja wasio na kiini cha seli; wote wanaitwa pia Prokaryota
- Eukaryota ni
wenye kiini cha seli. Wanyama, mimea na fungi huhesabiwa humo.
No comments:
Post a Comment